Deuteronomy 28:15

Laana Kwa Kutokutii

(Walawi 26:14-46)

15 aHata hivyo, kama hutamtii Bwana Mungu wako na kuzishika kwa bidii amri zake zote na maagizo ninayokupa leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukupata:

Copyright information for SwhNEN